1. Kusajili Kanisa Lako
Nenda kanisa.or.tz bonyeza Anza Bure. Jaza jina la kanisa, mkoa, na barua pepe yako. Utapata subdomain yako mwenyewe (mfano kanisalangu.kanisa.or.tz).
2. Onboarding Wizard
Ukiingia mara ya kwanza, utaonana na wizard wa hatua 5:
- Ongeza maelezo ya kanisa
- Tengeneza idara za awali (Kwaya, Vijana, n.k.)
- Tengeneza kanda za fellowship
- Ongeza viongozi wa kwanza
- Sanidi njia za malipo
3. Kuingiza Washirika
Nenda Members → Add Member. Unaweza kuingiza mmoja mmoja au ku-upload Excel.
4. Kuanzisha Michango
Bonyeza Contributions → New. Chagua mshirika, tarehe, na kiasi.
Wakati huu, umeanza!