Washirika, mahudhurio, sadaka, matumizi, idara, SMS, na ripoti — yote sehemu moja, 100% Kiswahili, na bei nafuu kwa kanisa lolote.
Mfumo mmoja unaobeba mahitaji yote ya kiutawala — bila kuhamishia data hapa na pale.
Profaili kamili na picha, simu, familia, na uongozi. Search ya haraka.
QR moja ya kudumu kwa kila tawi. Ibada inapickiwa kiotomatiki, na PIN inayoonyeshwa skrini inazuia wasiofika kujiandikisha.
Weka mara moja — Jumapili, Jumatano, Ijumaa. Mfumo unatengeneza ibada za mwaka mzima wenyewe.
Rekodi sadaka, zaka, michango ya ahadi. Risiti za PDF moja kwa moja.
Approval workflow — secretary anaomba, mchungaji anaaprove, na audit trail.
Vijana, wanawake, choir — kila idara na portal yake, sadaka na matumizi.
Mgawanyo wa kijiografia, kufuatilia kazi ya kichungaji na ushemasi.
Kuingia kwa OTP — bila password. Mshirika anaona michango, mahudhurio, ratiba na risiti zake, na anaweza kupakua taarifa.
Unganisha YouTube, Facebook Live, redio au TV ya kanisa — washirika wanatazama ndani ya portal yao.
Mfungo wa siku 21, 7, 3 au moja. Maombi ya kila siku hutumwa SMS/WhatsApp, na mshirika anathibitisha "Nimeomba".
Semina na mikutano yanaonekana kwenye portal, ukurasa wa umma, na widget ya kubandika kwenye website yako.
Financial, mahudhurio, growth — PDF/Excel exports kwa kasi.
Tuma SMS kwa makundi, sender ID yako mwenyewe ya TCRA.
Tuma invoice, statements na taarifa kwa WhatsApp — moja kwa moja kupitia Meta Cloud API rasmi.
Campaign zenye lengo, ahadi za washirika, progress tracking live.
Mgeni akijisajili anapokea SMS ya karibu kiotomatiki, na anabadilishwa kuwa mshirika kwa bonyeza moja.
Wachungaji, viongozi, na kalenda ya majukumu yao.
Admin, pastor, treasurer, secretary, dept/zone leaders na zaidi.
Jaza form ya kanisa. Subdomain yako (mfano kanisalako.kanisa.or.tz) inazaliwa moja kwa moja.
Import kutoka Excel au CSV, au kutumia link ya self-registration na QR code.
Chagua vipengele unavyohitaji — modules zote ziko kwenye trial yako.
Check-in wa mahudhurio, rekodi sadaka, tuma SMS — yote tayari.
Weka QR code mlangoni mwa kanisa, kwenye group ya WhatsApp, au kwenye poster — washirika wanachemua simu zao, wanajaza fomu, na admin anapokea taarifa moja kwa moja.
Kanisa lako linaweza kutuma taarifa, invoice, statement, na kumbukumbu kwa washirika kupitia WhatsApp — jukwaa la mawasiliano wanalotumia kila siku. Rasmi, si automation ya QR — hakuna hatari ya ban.
Mshirika anaingiza namba yake ya simu, anapokea msimbo kwa SMS, na yuko ndani. Anaona michango yake, mahudhurio, ratiba ya ibada, na anaweza kupakua risiti na taarifa zake mwenyewe — bila kumuuliza secretary.
Anza bure siku 30. Hakuna kadi inayohitajika.
Kwa makanisa ya washirika 0-500
au TZS 550,000/mwaka — okoa miezi 2
Kwa makanisa ya washirika 500+ au multi-branch
au TZS 1,200,000/mwaka — okoa miezi 2
Bei haijajumuisha SMS — vifurushi vya SMS vinanunuliwa separately kuanzia TZS 25/SMS.
Kila kanisa lina DB binafsi — data yako haichanganyiki na ya wengine.
UI nzima ipo lugha zote mbili — kuanzia menu hadi ripoti za PDF. Kila mtumiaji anachagua yake.
Tigo Pesa, M-Pesa, Airtel Money, Visa. Push inakuja moja kwa moja simuni — hakuna kuelekezwa nje ya mfumo.
Bandika kwenye home screen ya simu — inafunguka kama app, bila kupitia Play Store.
Matukio ya kanisa yanaweza kubandikwa kwenye website yako kwa msimbo mmoja — yanajisasisha yenyewe.
Kila mabadiliko yana audit trail — nani, lini, na alibadilisha nini.
Data inahifadhiwa kila wiki, na export ya Excel/CSV inapatikana wakati wowote.
Vipengele vipya vinaongezwa kila mwezi — kufuatia maoni ya makanisa yanayotumia.
Wasiliana nasi WhatsApp au simu — tunajibu haraka kwa Kiswahili.
Anzisha kanisa lako leo — trial siku 30 bure.
Sajili Kanisa BureHakuna kadi inayohitajika
Jiunge na makanisa yanayotumia Kanisa-MS kusimamia washirika, sadaka, na ibada.
Sajili Sasa — Bure Wasiliana WhatsApp